Katika wasanii wa kike, Ray C alitisha

Jul 12, 2017
84
77
kwa kweli bila kupepesa macho kwa Tanzania msanii wa kike akuwahi kutokea sijaona alofika level za ray-c huyu Dada alikuwa kafiti kila idara alikuwa anajua ukuutumia mwili wake macho kama anakuita kwa kwel salute kwake ,hebu tutupia moja kati ya nyimbo ambazo ulizikubali.
 
Kuna yule mwingine aliimbaga na Juma kakere, alikuwa anaitwa sinta"
 
Back
Top Bottom