Nkwabichalleslutonja
Member
- Jul 12, 2017
- 84
- 77
kwa kweli bila kupepesa macho kwa Tanzania msanii wa kike akuwahi kutokea sijaona alofika level za ray-c huyu Dada alikuwa kafiti kila idara alikuwa anajua ukuutumia mwili wake macho kama anakuita kwa kwel salute kwake ,hebu tutupia moja kati ya nyimbo ambazo ulizikubali.