Umkunje polisi au kumpiga mjeda kijiji kinahamishwa!!
Baiskeli lazima iwe na plate no vipat vya mviringo!!
Baiskeli lazima iwe na plate no vipat vya mviringo!!
ukiiibia serikali
Sasa bora ipi? Ufisadi wa sasa au kutokuwa na ufisadi alafu mambo yawe kama hivyo
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa loh!- Kumiliki 504 peugeot utajuta unashindana na rais
-Sinema iwashwe katikati ya wiki...utakoma
-Mfanyakazi wa Serikali kujenga...utachunguzwa pesa umetoa wapi
-Kula bar..bar zilikatazwa kupika watu wakale kwa wake zao
-Kwenda na msichana ambaye si Mkeo gesti...utaulizwa maswali mpaka ujikojolee