Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kwenye maisha ya mwanadamu Kuna mapito ya kusisimua Sana Sasa Uzi huu naomba tutaje tabibu za hatari ambazo tumewahi kuziona kwa macho na zinazosisimua na kuogopesha. Naanza na nilizoona Mimi binafsi.
1.Sindano ya katikati ya jicho.
2.Sindano ya mgongo .
3. Sindano ya kwenye kisigino.
4. Kutahiriwa kwa kisu.
5.Oparation ya kuzaa kwa kisu.
6. Majeruhi wa kushonwa.
Endelea mdau hayo niliyoona yalinitisha .
1.Sindano ya katikati ya jicho.
2.Sindano ya mgongo .
3. Sindano ya kwenye kisigino.
4. Kutahiriwa kwa kisu.
5.Oparation ya kuzaa kwa kisu.
6. Majeruhi wa kushonwa.
Endelea mdau hayo niliyoona yalinitisha .