witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Mm hua nanunua bia, sinunui bati zitanikata mikono
Mm hua nanunua bia, sinunui bati zitanikata mikono
Kwa umri huu wa Miongo kadhaa, bado giza nene mbeleni.Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
Tusaidie na wengine mkuu,mi nakwama yaankwakweli at my 40s nina nyumba 3 na viwanja viwili. ni jambo la kumshukuru Mungu, na vyote vya halali hakuna kilichopatikana kwa hela haramu hata kimoja.
Eti fisadi, unaijua tafsiri ya fisadi wewe?We ni fisadi au mtoto wa kishua?
Nuru itaonekana tu bossKwa umri huu wa Miongo kadhaa, bado giza nene mbeleni.
Hongereni wote mliopiga hatua..
Pambana, fikiria kwenda zaidi na ulipo, epuka mikopo ya pupa, epuka matumizi makubwa, sevu pesa hata kama ni miaka 20, haijalishi umri utakaojenga...Tusaidie na wengine mkuu,mi nakwama yaan
Mwombe Mungu atakusaidia, sometimes inakatisha tamaa, sometimes unaweza kuwa na pesa lakini macho yako yameumba hadi Mungu akikufumbua au milango yako ya baraka ikifunguka au wakati wa Bwana unakuwa umeshaika, utajenga hata kama kipato chako kidogo. ila kipato kiwe kikubwa au kidogo, ujenzi una maumivu mno, ukiona mtu ana kwake mheshimu. hela inakutoka balaa unafika kipindi unakuwa kama umemsusia fundi jengo hahahaha.Tusaidie na wengine mkuu,mi nakwama yaan
Mikopo ya pupa ndo ipi?Pambana, fikiria kwenda zaidi na ulipo, epuka mikopo ya pupa, epuka matumizi makubwa, sevu pesa hata kama ni miaka 20, haijalishi umri utakaojenga...
Utafikia ndoto yako
Running like a headless chickenMikopo ya pupa ndo ipi?
Mmh hongeren jamanmwombe Mungu atakusaidia, sometimes inakatisha tamaa, sometimes unaweza kuwa na pesa lakini macho yako yameumba hadi Mungu akikufumbua au milango yako ya baraka ikifunguka au wakati wa Bwana unakuwa umeshaika, utajenga hata kama kipato chako kidogo. ila kipato kiwe kikubwa au kidogo, ujenzi una maumivu mno, ukiona mtu ana kwake mheshimu. hela inakutoka balaa unafika kipindi unakuwa kama umemsusia fundi jengo hahahaha.
unashusha nondo la milioni moja hapo hapo anakwambia hapa inatakiwa mifuko 50 ya cement, hapohapo anakwambia kokoto lori kubwa hapohapo mchanga wa kutosha, na hujampa ya ufundi, hapohapo vijana wa kumwagilia, hujamaliza hiki akifika kwenye lenter anakwambia hii inatakiwa iwekwe lenter haraka ili nyumba isitanuke, kwenye lenter hapo maumivu ya kutosha, ukimailza hapo kwenye mbao za kupaulia, roofiing, madirisha na nondo zake, milango, floor/tiles hujapiga lipu hujaweka fensi...., kwa kipato changu cha kawaida kabisa nimeshavumilia maumivu ya kutosha, ila ikiisha, ndio utaona utamu wake.
And THIS is a spirit. ALL THE BEST😁😁 we acha tu iLa hatuwez kufa kwenye nyumba za kupanga iko sku na ss tutawaachia urithi watoto wetu
sitaki kukutoa kwenye fani yako ningekuwa mimi ni wewe ningejiingiza kwenye usafi majumbani yani ela iko kibao kwa siku nisingekosa 25000 mpaka 40000 maana mimi sina aibu kwenye kutafuta pesa mangiiAaah mishe za ufundi umeme bhna nd tunambza mtaani uku
Mpaka nimeogopaMwombe Mungu atakusaidia, sometimes inakatisha tamaa, sometimes unaweza kuwa na pesa lakini macho yako yameumba hadi Mungu akikufumbua au milango yako ya baraka ikifunguka au wakati wa Bwana unakuwa umeshaika, utajenga hata kama kipato chako kidogo. ila kipato kiwe kikubwa au kidogo, ujenzi una maumivu mno, ukiona mtu ana kwake mheshimu. hela inakutoka balaa unafika kipindi unakuwa kama umemsusia fundi jengo hahahaha.
Unashusha nondo la milioni moja hapo hapo anakwambia hapa inatakiwa mifuko 50 ya cement, hapohapo anakwambia kokoto lori kubwa hapohapo mchanga wa kutosha, na hujampa ya ufundi, hapohapo vijana wa kumwagilia, hujamaliza hiki akifika kwenye lenter anakwambia hii inatakiwa iwekwe lenter haraka ili nyumba isitanuke, kwenye lenter hapo maumivu ya kutosha, ukimailza hapo kwenye mbao za kupaulia, roofiing, madirisha na nondo zake, milango, floor/tiles hujapiga lipu hujaweka fensi...., kwa kipato changu cha kawaida kabisa nimeshavumilia maumivu ya kutosha, ila ikiisha, ndio utaona utamu wake.
Amina kamandaPambana, fikiria kwenda zaidi na ulipo, epuka mikopo ya pupa, epuka matumizi makubwa, sevu pesa hata kama ni miaka 20, haijalishi umri utakaojenga...
Utafikia ndoto yako
Pole sana mm ndio nimeishia hapo30 kwa mama,but now nina 33 naangaika na yangu sifanikiwi nimeishia uwanja tu
hongera, hii inavyumba vingapi? Na kwa makadirio tu umetumia kiasi gani cha pesa kuikamilisha?Pole sana mm ndio nimeishia hapoView attachment 1971610
Duuuh pole mkuuDaah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz