Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Najiuliza sipati jibu
Kwanini CCM wanakuwa walafi na wabinafsi wa madaraka? Kwanini ndani ya miaka 5 wamehakikisha maeneo yote kuliko na mamayor wa upinzani either wamewanunua au wamevunja utaratibu na kutwaa madaraka wao?
Kwa hali hii ccm inatofauti gani na kabulu? Kuna tofauti gani na mkoloni? Katika umayor kunanini ambacho wanataka kujificha huko?
Huo uzalendo na umoja unapatikanaje katika mazingira haya?
Kwanini CCM wanakuwa walafi na wabinafsi wa madaraka? Kwanini ndani ya miaka 5 wamehakikisha maeneo yote kuliko na mamayor wa upinzani either wamewanunua au wamevunja utaratibu na kutwaa madaraka wao?
Kwa hali hii ccm inatofauti gani na kabulu? Kuna tofauti gani na mkoloni? Katika umayor kunanini ambacho wanataka kujificha huko?
Huo uzalendo na umoja unapatikanaje katika mazingira haya?