Uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni mchuano baina ya Wazalendo tunaoipenda nchi yetu, tuliotayari kuzilinda rasilimali zetu dhidi ya Mabeberu na mawakala wao.
Kwanini Mabeberu wanachuana na Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?. Tafakari sababu hizi kumi kisha uchague upande wa kuunga mkono
1. Hatua za serikali kupitia mikataba ya madini ili kulifanya Taifa linufaike na mapato yatokanayo na madini. Serikali ya awamu ya tano ilipeleka muswada bungeni ili kurekebisha vifungu vya sheria hiyo na kusababisha faida kwa nchi kwa kuwataka wawekezaji ktk madini kuigawia hisa serikali. Jambo hili limeleta faida na mgodi wa Barick umelipa bilioni 100 kama gawio. Jambo hili limewaudhi Mabeberu hivyo wametengeneza vibaraka wao na kuwaunga mkono katika uchaguzi huu
2. Hatua ya serikali kujenga Ukuta wa mererani ili kuzuia utoroshaji wa madini ya Tanzanite. Awali, madini haya yaliwanufaisha Mabeberu kupitia Kenya, afrika kusini na India ambako wamewekeza. Kwa sasa faida ya Tanzanite inabebwa yote na watanzania, hili limewauma sana Mabeberu.
3. Hatua za serikali kukabiliana na Korona na kuishinda, limewaudhi Mabeberu. Serikali ilizuia lockdown na kuruhusu shughuli za uzalishaji Mali na huduma ziendelee. Serikali pia ilibaini mchezo mchafu katika vipimo vya Korona. Hili limewakera Mabeberu
4. Hatua za serikali kufufua Shirika LA Ndege (ATCL) na Kampuni ya simu (TTCL) kumedumaza biashara kwa makampuni ya kibeberu hivyo kuibua chuki dhidi ya serikali.
5. Hatua ya serikali kudhibiti biashara ya dawa za kulevya kumepunguza faida ya biashara hizo kwa Mabeberu hivyo kujenga chuki
6. Hatua ya serikali kudhibiti ujangili wa tembo na wanyama hai kumepunguza malighafi muhimu kwa viwanda vya Mabeberu hivyo kuichukia serikali.
7. Hatua ya serikali kukemea vitendo vya ushoga nchini kumewaudhi Mabeberu
8. Hatua ya serikali kudhibiti safari za nje kwa viongozi kumeua soko LA Ndege pamoja na Hotel na mabenki ya Mabeberu hivyo kuzua chuki
9. Mkakati wa serikali kuhimiza watu kuchapa kazi, kudhibiti rushwa na kudhibiti mapato ya kodi kumekuza uchumi na kupunguza utegemezi hivyo kuwakera Mabeberu
10. Msisitizo wa serikali katika kudumisha amani, utulivu, umoja na mshikamano pamoja na muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ni machukizo kwa Mabeberu ambao wanatamani tuvutugane, kupigane ili watuuzie siraha na kupora rasilimali zetu.
Ni wajibu wetu kama taifa kusimama imara ili kuzilinda, kuzitetea na kuziendeleza rasilimali zetu kwa kuupigia KURA upande wa Wazalendo unaoongozwa na Mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli na Chama cha Mapinduzi
Tusidanganyike eti tumeminywa Haki na Uhuru, hizo ni ghiliba tu za Mabeberu.
Libya walidanganywa, leo hii wanajuta, wanatamani kumfufua Ghadafi lakini haiwezelani.
Mpigie Kura JPM, kwa Maendeleo ya Kweli.
Ahsanteni watanzania kwa kutuelewa na kuungana na wazalendo wengine ili kuwashinda Mabeberu na vibaraka wao
Ushindi wa Kishindo wa kura Mil. 12.5, ni salamu tosha kwamba Tanzania ni nchi huru, inayojiamulia maswala yake yenyewe.
Mgombea anayebebwa na Ubelgiji, Marekani au kwingineko hana nafasi katika Uongozi wa Tanzania.
Kwanini Mabeberu wanachuana na Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?. Tafakari sababu hizi kumi kisha uchague upande wa kuunga mkono
1. Hatua za serikali kupitia mikataba ya madini ili kulifanya Taifa linufaike na mapato yatokanayo na madini. Serikali ya awamu ya tano ilipeleka muswada bungeni ili kurekebisha vifungu vya sheria hiyo na kusababisha faida kwa nchi kwa kuwataka wawekezaji ktk madini kuigawia hisa serikali. Jambo hili limeleta faida na mgodi wa Barick umelipa bilioni 100 kama gawio. Jambo hili limewaudhi Mabeberu hivyo wametengeneza vibaraka wao na kuwaunga mkono katika uchaguzi huu
2. Hatua ya serikali kujenga Ukuta wa mererani ili kuzuia utoroshaji wa madini ya Tanzanite. Awali, madini haya yaliwanufaisha Mabeberu kupitia Kenya, afrika kusini na India ambako wamewekeza. Kwa sasa faida ya Tanzanite inabebwa yote na watanzania, hili limewauma sana Mabeberu.
3. Hatua za serikali kukabiliana na Korona na kuishinda, limewaudhi Mabeberu. Serikali ilizuia lockdown na kuruhusu shughuli za uzalishaji Mali na huduma ziendelee. Serikali pia ilibaini mchezo mchafu katika vipimo vya Korona. Hili limewakera Mabeberu
4. Hatua za serikali kufufua Shirika LA Ndege (ATCL) na Kampuni ya simu (TTCL) kumedumaza biashara kwa makampuni ya kibeberu hivyo kuibua chuki dhidi ya serikali.
5. Hatua ya serikali kudhibiti biashara ya dawa za kulevya kumepunguza faida ya biashara hizo kwa Mabeberu hivyo kujenga chuki
6. Hatua ya serikali kudhibiti ujangili wa tembo na wanyama hai kumepunguza malighafi muhimu kwa viwanda vya Mabeberu hivyo kuichukia serikali.
7. Hatua ya serikali kukemea vitendo vya ushoga nchini kumewaudhi Mabeberu
8. Hatua ya serikali kudhibiti safari za nje kwa viongozi kumeua soko LA Ndege pamoja na Hotel na mabenki ya Mabeberu hivyo kuzua chuki
9. Mkakati wa serikali kuhimiza watu kuchapa kazi, kudhibiti rushwa na kudhibiti mapato ya kodi kumekuza uchumi na kupunguza utegemezi hivyo kuwakera Mabeberu
10. Msisitizo wa serikali katika kudumisha amani, utulivu, umoja na mshikamano pamoja na muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ni machukizo kwa Mabeberu ambao wanatamani tuvutugane, kupigane ili watuuzie siraha na kupora rasilimali zetu.
Ni wajibu wetu kama taifa kusimama imara ili kuzilinda, kuzitetea na kuziendeleza rasilimali zetu kwa kuupigia KURA upande wa Wazalendo unaoongozwa na Mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli na Chama cha Mapinduzi
Tusidanganyike eti tumeminywa Haki na Uhuru, hizo ni ghiliba tu za Mabeberu.
Libya walidanganywa, leo hii wanajuta, wanatamani kumfufua Ghadafi lakini haiwezelani.
Mpigie Kura JPM, kwa Maendeleo ya Kweli.
Ahsanteni watanzania kwa kutuelewa na kuungana na wazalendo wengine ili kuwashinda Mabeberu na vibaraka wao
Ushindi wa Kishindo wa kura Mil. 12.5, ni salamu tosha kwamba Tanzania ni nchi huru, inayojiamulia maswala yake yenyewe.
Mgombea anayebebwa na Ubelgiji, Marekani au kwingineko hana nafasi katika Uongozi wa Tanzania.