FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Salamu!
Katika taifa linalo jinasibu kuwa ni la 'Kidemokrasia' na pia lenye 'Hazina Kubwa' ya viongozi (wa kila rika na jinsia), kuna ulazima ama umuhimu gani kwa kiongozi wa taifa hilo kuongezewa ukomo wa muda wa kukaa madarakani?
Nafahamu kuna watakaosema kuwa "kama wananchi wanahitaji aendelee kuwepo madarakani basi aongezewe muda" lakini Je, hakuna kabisa watu ama viongozi wengine wa kuweza kuendeleza yale 'mazuri' aliyofanya kiongozi huyo kwa maslahi mapana ya taifa?
Kuna yeyote aliyewahi kujiuliza swali kama hili, ama pengine ni mimi tu, lakini ningependa kupata michango mbalimbali kutoka kwenu kuhusiana na hili.
Kwa kifupi, nawakaribisha!
Katika taifa linalo jinasibu kuwa ni la 'Kidemokrasia' na pia lenye 'Hazina Kubwa' ya viongozi (wa kila rika na jinsia), kuna ulazima ama umuhimu gani kwa kiongozi wa taifa hilo kuongezewa ukomo wa muda wa kukaa madarakani?
Nafahamu kuna watakaosema kuwa "kama wananchi wanahitaji aendelee kuwepo madarakani basi aongezewe muda" lakini Je, hakuna kabisa watu ama viongozi wengine wa kuweza kuendeleza yale 'mazuri' aliyofanya kiongozi huyo kwa maslahi mapana ya taifa?
Kuna yeyote aliyewahi kujiuliza swali kama hili, ama pengine ni mimi tu, lakini ningependa kupata michango mbalimbali kutoka kwenu kuhusiana na hili.
Kwa kifupi, nawakaribisha!