Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Akikupa niite pleaseNaomba hiyo andiko, liko kwenye qur an mstari wa ngapi
Akikupa niite pleaseNaomba hiyo andiko, liko kwenye qur an mstari wa ngapi
Mada haina Udini hebu rudi uisome tena aya mbili za mwisho uoneHakuna muislam hasiyetaka kuitetea dini yake.. mjanja mjanja tu.. katika mambo yote katika uislam wewe umeona swala la mwanaume kuoa wake wanne tu.. na hii mada ina u Dini ndani yake.. Bisha?
Uki enjoy sexual intercourse unalipia , haijasema kama huta enjoy itakuwajeNaomba hiyo andiko, liko kwenye qur an mstari wa ngapi
Tuwekee hiyo hadithi.Mapadre kuna agizo la kutooa ili wawalawiti watoto na vijana wa kanisa?Koran ndio imeandikwa chukua mwanamke uki enjoy mlipe , unataka kusema Koran ni ya mashia , alafu Kuna Hadith pia Allah kamuagiza Muhammad wafanye kununua wanawake mutah
Mimi huwa napenda agizo la mapadre kutooa ili wakidindisha wawalawiti watoto na vijana kwenye Diocese.napendaga part ya mke uji wengi huwa wanavuta majiko kipindi hicho na baada ya mwezi majiko yanasambaratika
Ngoja nikarejee ntakurudiaUki enjoy sexual intercourse unalipia , haijasema kama huta enjoy itakuwaje
4:24Jalal - Al-Jalalayn ....; save what your right hands own, of captured [slave] girls, whom you may have sexual intercourse with, even if they should have spouses among the enemy camp, but only after they have been absolved of the possibility of pregnancy [after the completion of one menstrual cycle]; this is what God has prescribed for you (kitāba is in the accusative because it is the verbal noun). Lawful for you (read passive wa-uhilla, or active wa-ahalla), beyond all that, that is, except what He has forbidden you of women, is that you seek, women, using your wealth, by way of a dowry or a price, in wedlock and not, fornicating, in illicitly. Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages, the dowries that you have assigned them, as an obligation; you are not at fault in agreeing together, you and they, after the obligation, is waived, decreased or increased. God is ever Knowing, of His creatures, Wise, in what He has ordained for them.
Tunaongea kwa ushahidi wa maandiko , hiyo ya mapadre kama una andiko la wakristo linaloruhusu liwekeTuwekee hiyo hadithi.Mapadre kuna agizo la kutooa ili wawalawiti watoto na vijana wa kanisa?
Kwa nini Allah anasema mpige wanawakeKwanini unakuwa muongo kiasi hiki ?
Wapi Mwanamke ana thaminiwa nje ya Uislamu ?
Weka sura na namba ya aya.Koran ndio imeandikwa chukua mwanamke uki enjoy mlipe , unataka kusema Koran ni ya mashia , alafu Kuna Hadith pia Allah kamuagiza Muhammad wafanye kununua wanawake mutah
Wewe Uislamu huujui,ndoa ya Mutah ilishakatazwa kitambo sana kabla Mtume hajafa,ndiyo maana nikasema hakuna Mutah katika Uislamu.We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Muhammad..... Sahih Muslim 1405d
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Mpaka muhammad anakufa kwa kulishwa sumu mutah ilikuwa inaendelea
Yani Allah kila dhambi aliitafutia sababu ili aruhusu, Yani umalaya kaona Aite ndoa ya siku tatu , unamuacha unaoa mwingine siku tatu
Sasa rejea katika Tafsiri uone namna ya kipgo cha Mwanamke kinavyokuwa.Kwa nini Allah anasema mpige wanawake
4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
Ndio kumpiga mwanamke ni kumshusha thamani, hilo nimemaliza , mpaka sasa hujaleta verse ya Koran iliyokataza mutahSasa rejea katika Tafsiri uone namna ya kipgo cha Mwanamke kinavyokuwa.
Kingine kwahiyo kumpiga ndiyo kumshusha thamani ?
Tatizo lako hujui hukumu za hadithi na Quran Tukufu.Kwa nini Allah anasema mpige wanawake
4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
Rudi kwenye mada , kwa nini wanawake wa kiislam allah karuhusu wapigwe, na kwa nini hakusema na wanaume wapigweTatizo lako hujui hukumu za hadithi na Quran Tukufu.
Nikupe mfano pombe ilikuwa inaruhusiwa zama za mwanzo wa Uislamu.Kwenye Suratul Nisai ikaja amri ya kuharamisha pombe.
Mwanamke kwenye Ukristo hana identity.Akiolewa anafuata ubini wa mume wake.Ndio kumpiga mwanamke ni kumshusha thamani, hilo nimemaliza , mpaka sasa hujaleta verse ya Koran iliyokataza mutah
Mada ilikuwa ndoa wewe ndio rudi kwenye mada.Wanaume wanatoa mahari hata kwenye dinl yako!Umejiuliza kwanini wanawake hawatoi mahari?Rudi kwenye mada , kwa nini wanawake wa kiislam allah karuhusu wapigwe, na kwa nini hakusema na wanaume wapigwe
Huu uzinzi wa mutah ulikuwa unaendelea mpaka maisha ya Umar , Soma kijanaWewe Uislamu huujui,ndoa ya Mutah ilishakatazwa kitambo sana kabla Mtume hajafa,ndiyo maana nikasema hakuna Mutah katika Uislamu.
Nanukuu :
1. Allaah Aliyetukuka Anasema: “Lakini wanaotaka kinyume ya haya, basi hao ndio wanaoruka mipaka” (al-Ma’arij 70: 31). Na Aayah hiyo ikarudiwa tena katika Suratul Mu’minuun 23: 7. Wanavyuoni wa tafsiyr kama vile Shaykh Abu Bakr Jaabir al-Jazaa’iriy anasema kuwa Aayah hizi zinakataza ndoa hiyo ya Mut’ah.
2. ‘Aliy (Radhiya Allaahu ‘anhu) alitoka nje huku akimsikia mtu (Ibn ‘Abbaas) akitaja ndoa ya Mut’ah akamwambia: “Wewe ni mtu uliyesahau, hukumbuki kuwa Mtume amekataza ndoa ya Mut’ah na kula nyama ya punda zama za Khaybar” (Muslim).
3. Na Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) alisikiliza maelekezo ya kutoka kwa mtoto wa ‘ami yake (yaani ‘Aliy) kwa kuacha msimamo kuwa Mut’ah ni halali kama alivyosema Imaam al-Aluusiy katika tafsiri yake ya Ruuh al-Ma’aaniy: “Ni bora kulifutu jambo hili kwa kusema kuwa baada ya hapo (Ibn ‘Abbaas) aliyarudi maneno yake kulingana na mapokezi ya at-Tirmidhiy, al-Bayhaqiy na atw-Twabaraniy kuwa alisema (Ibn ‘Abbaas): ‘Kwa hakika Mut’ah ilikuwepo mwanzo wa Uislamu, alikuwa mtu huja katika kijiji ilihali hamjui mtu basi huoa kwa muda auonao kuwa atakaa hapo, akapata kuhifadhiwa haja zake na huyo mke na kusimamiwa maslahi yake yote (na huyo mke), mpaka ikateremka Aayah isemayo: ‘Isipokuwa kwa wake zao au kwa wanawake wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume. Basi hao ndio wasiolaumiwa’ (Suratul Mu’minuun 23: 6), kwa hiyo kila tupu isiyo mojawapo ya tupu hizi mbili ni haramu” (Juzuu 5, uk. 6 na pia Tuhfatul Ahwadhiy Sherehe ya at-Tirmidhiy, Juzuu 4, uk. 269).
Sasa naomba unipe ushahidi unao onyesha ya kuwa mpaka Mtume anafariki ndoa ya Mutah ilikuwepo.
Allah kasema wapigeni , wapigweje ni wanadamu ndio wanaongezea kwenye Koran hakunaMwanamke kwenye Ukristo hana identity.Akiolewa anafuata ubini wa mume wake.
Umeandika"kuwapiga" mbona hujamalizia wapigweje?Kwa upande wa kanga ikiwa figure of speech kuonyesha kwamba kuna mgogoro kwenye ndoa.
Ndoa za kikristo Mwanamke hawezi ku divorce hata kama ananyanyasika.,anapigwa na mume wake akifa hana haki ya mirathi.