Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,505
- 70,311
Hawa viumbe nuksi asee. Ukikaa kiree unafilisika kabla hujajua.Hizi ndio response za ki "NAZI" kama watoto wa Hitler
Hawa viumbe nuksi asee. Ukikaa kiree unafilisika kabla hujajua.Hizi ndio response za ki "NAZI" kama watoto wa Hitler
Mkuu umeongea kwa hisia sana nimeamini uko serious na hili jambo.
Duuh niko nyuma ya wakati kumbe, france kiss ndo ipi hiyo mkuuMie huwa natoa mtihani mdogo tu kwa mwanamke anae omba hela.
Nataka france kiss moja nzitooo, kma dakika 2 tu, kuhidhinisha mahusiano yetu lasmi, kisha nakupa ulicho omba,
Mwanamke akiweza hapo, huyo lazima mzigo atakuja kutoa tu.
Na ukitoa hela kabla ya kupewa tunda utaitwa boya akikuheshim anakuita buziUkionekana mkono wa birika hupewi mzigo na simu utakatiwa😁
Hahaha ubaya ni kwamba atakutoboa kweli kweli before hajakupa tunda.Na ukitoa hela kabla ya kupewa tunda utaitwa boya akikuheshim anakuita buzi
Kukula ulimi wa mwenzio 😃😃Duuh niko nyuma ya wakati kumbe, france kiss ndo ipi hiyo mkuu
Nitume naya kutolea wakati hujawai nipa game aaah wapi.Mambo ya Tamthiliya hayo bw mdogo........ukikua utaacha
Dodoma hujapata haya viti maalum!Daah....nisaidie na mimi kaka(ndugu yako above 40 years) nipasie hata mmoja awe na sura nzuri na shape nzuri.msafi na elimu angalau kidato cha nne. Nisaidie sana.
Mfano nipo week ya Pili hii Dodoma sijaona ISSUE yaani mpaka roho inaniuma. Wenzangu tuliokuja nao wanajipatia blankets nzuri nyingi tu.mimi nalala na baridi naamka na baridi.na hii mvua inayonyesha....naumia sana.
Mungu anawaona lakini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umeandika Mambo yakuumizayo Ila katika comedy zaidiZaidi
😂😂😂Jamaaa sijui anakwama wapi!!above 40 anawaaaza kununua tecno ale mema ya nchi..aache uchoyoMungu anawaona lakini
Kweli Ila dah, wamezidi sasa we mara mama wa kambo kafa, mara nauli ya mwanza mara hela za bia, mara simu imevunjika kioo. Inachosha mwili na roho.😂😂😂Jamaaa sijui anakwama wapi!!above 40 anawaaaza kununua tecno ale mema ya nchi..aache uchoyo
Ooh kumbeKukula ulimi wa mwenzio
The same kwa wanawake pia?Mwanangu flani wa faida enzi za u teenage wetu mitaa ya manzese alishawahi kuniambia
"first impression ina matter Sana... Vile utavyokuwa ndo demu atakavyokuchukuli"
So mwanangu mi nakuchana live lazima
Approach zako zitakuwa mbovu
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Atumie kufanyaaje?Tumia chumvi ya mawe
True..ukimpenda mwanaume hata pesa huwezi omba hovyohovyo na ukipata yule anaejua wajibu ndo huwez hata kuomba mana unakuta anakupa mwenyewe ko kumuomba inakuwa ngumu labda itokee pale inapobidi ukiwa tightly kweli lakin kama hujampenda ni vizingaaa tu dailyMkuu hapa tatizo ni wewe sio hao wanawake kuna namna unatakiwa ufix unavyofanya mambo yako , wanawake wote wanapenda pesa ni kweli na huwez wapata bila pesa ni kweli pia ila wanawake wote sio wapiga vizinga kuna mwanamke anakutengenezea mazingira pesa unatoa mwenyewe bila kuombwa mkuu... we jamaa unatongoza wanawake ambao hawakupend kabisa.