Katika siku niliyo kasirika

Luthar

JF-Expert Member
Jul 29, 2011
519
105
Jana katika ku surch tv yangu nikamkuta huyu rais a.k.a waziri wa mambo ya nje akiwa huko washngton anatoa propaganda zake aliniuzi vibaya watu wamechoka na masha yeye ndiyo k.guu na njia lakini najua iko day haki haitapotea kwa uwongo .
 
Jana katika ku surch tv yangu nikamkuta huyu rais a.k.a waziri wa mambo ya nje akiwa huko washngton anatoa propaganda zake aliniuzi vibaya watu wamechoka na masha yeye ndiyo k.guu na njia lakini najua iko day haki haitapotea kwa uwongo .
<br />
<br />
mkuu inaelekea ungekuwa rais ungemtuma your fnreighn minister kukuwakilisha huko UN ambako this every country leader anaenda huko.
Napenda maoni tofauti ila hili ungelifikiria usiwe mtu wa kupenda kulalamika na usiwe na chuki mkuu jua roho mbaya haijengi n only light can end darkness!!
 
Ukizoea kukosea, hata siku ukipatia Watakukosesha tu.
 
Back
Top Bottom