Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,913
Bora ni ile inayotumiak na wengi kwenye kipindi hiki cha science na technology, kwa maana FM ni masafa mapya. Kuna radio za zamani hazina FM zaidi ya MW/AM au SW 1,2,3Bila shaka ni abbreviation ya:
FM - Frequence Modulation,
AM - Amplitude Modulation,
SW - Short Wave,
MW - Medium Wave
Suala la Ipi ni bora zaidi, acha tuendelee kuwasubiria waliobobea kwenye fani....