ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
HILI NALO NENO
NI MTAZAMO TU USIJENGE CHUKI NA MIMI - Hivi kwanini baada ya kushinda Gym kutengeneza huo mwili wako kwa ajiri ya kuwatamanisha wanawake kwanini usitumie huo muda kutafuta maisha yako tena ukiwa kama mwanaume mwenye mawazo ya kuja kuitwa BABA hapo baadae??
Au unadhani hao watoto watakuja kula lijimwili na huo mwendo?? Tubadilike umri na muda Hautusubili wapendwa!!!NI MTAZAMO TU USIJENGE CHUKI NA MIMI - Hivi kwanini baada ya kushinda Gym kutengeneza huo mwili wako kwa ajiri ya kuwatamanisha wanawake kwanini usitumie huo muda kutafuta maisha yako tena ukiwa kama mwanaume mwenye mawazo ya kuja kuitwa BABA hapo baadae??
By: Rosemary Johannes.. http://kingkif.blogspot.com/