Umenichekesha sana na cartoon hii.To me hilo ni wazi kuwa ktk mambo yasiyo na maadili mazuri kwa jamii twayavalia njuga hadi kufaulu kwa kiasi hicho, ukitupeleka kwenye kabumbu,mbio nk wachezaji hutelekezwa na hata mlo wao kuwa wa wasiwasi hadi huugua matumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.