johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,839
- 141,756
Ni ushauri kwa Chama kikuu cha upinzani kwamba kutoa Elimu ya Katiba Mpya ni tofauti kabisa na kupiga propaganda za Siasa kama Mbowe na wenzake wanavyofanya sasa
Katiba ni maisha, Katiba ni zaidi ya vyama vya Siasa na Tume ya uchaguzi
Tafuteni Watu wenye maarifa ya kutoa Elimu ya Katiba na siyo lazima wawe Wanasiasa
Nawatakia Dominica njema!
Katiba ni maisha, Katiba ni zaidi ya vyama vya Siasa na Tume ya uchaguzi
Tafuteni Watu wenye maarifa ya kutoa Elimu ya Katiba na siyo lazima wawe Wanasiasa
Nawatakia Dominica njema!