mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Katika nchi yenye wajinga wengi; watu wenye akili wana machaguo mawili, chaguo la kwanza ni kutumia muda wao mwingi kuelimisha wajinga, kuwakumbusha, kuwakosoa, kuwapa taarifa na ikibidi, kama hawaelewi, unaweza kupata hasira na kuwatamkia maneno yasiyofaa, na kuonekana kukosa staha.
Au, kundi la pili ni la watu waliochagua ku'relax': kujifanya mjinga mwenzao na kutumia ujinga wao kujinufaisha.
Ndio maana Tundu Lisu na Andrew Chenge wote ni wanasheria nguli, lakini wanapingana bungeni. Kila mtu ana chaguo lake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au, kundi la pili ni la watu waliochagua ku'relax': kujifanya mjinga mwenzao na kutumia ujinga wao kujinufaisha.
Ndio maana Tundu Lisu na Andrew Chenge wote ni wanasheria nguli, lakini wanapingana bungeni. Kila mtu ana chaguo lake.
Sent using Jamii Forums mobile app