Habari Wadau..
Wote tumeguswa na msiba wa tajiri wetu mweusi Mr. Mengi aliyekuwa anaenda level zisizopishana sana na Watanzania weupe
Wasifu wake unaonesha hata yeye hakukanyaga chuo kikuu chetu ..
Na hapo hapo akapata akili ya kuwa tajiri na industrialist mkubwa sana...
Je, elimu yetu ipo sawa kweli?
Kwanini washika uchumi hawasomi elimu yetu
Wote tumeguswa na msiba wa tajiri wetu mweusi Mr. Mengi aliyekuwa anaenda level zisizopishana sana na Watanzania weupe
Wasifu wake unaonesha hata yeye hakukanyaga chuo kikuu chetu ..
Na hapo hapo akapata akili ya kuwa tajiri na industrialist mkubwa sana...
Je, elimu yetu ipo sawa kweli?
Kwanini washika uchumi hawasomi elimu yetu