OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,186
- 103,702
Nadhani sasa hatua zinazochukuliwa na Serikali dhidi ya Corona mnazisikia. Lakini katika awamu ilipita hali ilikuwa tofauti kabisa, Serikali ilitelekeza jukuma la kulinda raia wake. Licha ya kuwapa ushauri lakini waliziba masikio
Nchi imepoteza rasilimali watu wengi mafungu kwa mafungu kutokana na uzembe wa serikali. Lakini serikali hiyo ilikuwa na waziri mtaalamu wa afya. Naye aliungana na watu wasio wataalamu kupotosha watanzania na dunia. Waziri huyu bado yupo kazini naye anajifanya kupambana hivi sasa. Aulizwe alikuwa wapi siku zote?
Katika hii vita ya Corona adui namba 1 ni Corona, Adui namba 3 ni Dr. Gwajima