Katika makosa makubwa yaliyofanywa nchi hii ni kitengo kupanga orodha ya Wabunge

MtuHabari

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
321
1,019
Nimejaribu kuangalia mwenendo wa nchi kwa sasa baada ya uchaguzi mkuu uliohujumiwa wa 2020.

Kikubwa ambacho kama nchi tutakuja kukijutia na "kitengo" watajua kuwa hawajui ni kwa kuingilia mchakato wa wananchi kupata wabunge wao na kitengo kuwapangia wabunge wawe kina nani.

Kama walitaka kupanga uongozi wangebaki na nafasi hiyo ya Rais pekee na kuacha vichwa viwezavyo kukosoa Serikali, kukemea wizi na kufichua maovu bila woga na kwa akili kubwa vibaki kuwepo bungeni kupunguza hata ile nyongo ya wananchi. Lakini sasa kwa miaka mitano ijayo tutashuhudia chuki kubwa sana baina ya Wananchi na Serikali yao maana hata kwenye machungu wabunge waliopo WATASIFIA SERIKALI KINAFIKI.

Nini kifanyike maana hata baada ya uchaguzi kuvurugwa hakuna aendaye mahakamani kupinga kwani hata imani na Mahakama nayo imepotea?
 
"Kitengo" walielewa "Sponsor" wao alipokuwa anawaambia wapinzani wametuchelewesha na ile kauli ya msinichanganyie.

Hivyo wakaamua kufanya anachokitaka sponsor wao.

wapinzani walituchelewesha Sana(maana waliongoza nchi tokea imepata Uhuru) au nasema uongo ndugu zangu?.

MAENDELEO HAYANA CHAMA.
 
Nimejaribu kuangalia mwenendo wa nchi kwa sasa baada ya uchaguzi mkuu ulio hujumiwa wa 2020...
Of course you are speaking for yourself. Ingekuwa wewe umepanga makosa kwa niaba yetu tungesikitika, lakini hukupanga, huba ubavu wa kutupangia. Ungekuwa mbunge ukaichekea serkali, ungek9sa na tungesikitika lakini wewe siyo mbunge. Unge, inge, wange, ...kuwa Wasaliti wetu ndiyo wanaopanga au ndiyo wabunge ningekusapoti. Subiri 5 years, kama una la harakaharaka mtune Mbungehalima.
 
Watu tunapojadili mustakabali wa nchi yetu. Mambo ya Bavicha yametokea wapi hapa?
Huo ujinga peleka wenye thread ulizozoea kuingiza ujinga wako! Ebo.
Wewe ndio unayejadili uchaguzi wakati wabunge wa Chadema, CUF na ACT wazalendo wazalendo wameshaapishwa.

Una akili za mbege kabisa wewe!
 
Of course you are speaking for yourself. Ingekuwa wewe umepanga makosa kwa niaba yetu tungesikitika, lakini hukupanga, huba ubavu wa kutupangia. Ungekuwa mbunge ukaichekea serkali, ungek9sa na tungesikitika lakini wewe siyo mbunge. Unge, inge, wange, ...kuwa Wasaliti wetu ndiyo wanaopanga au ndiyo wabunge ningekusapoti. Subiri 5 years, kama una la harakaharaka mtune Mbungehalima.
Hahahaaaa....... KUB Halima James Mdee!
 
Nimejaribu kuangalia mwenendo wa nchi kwa sasa baada ya uchaguzi mkuu ulio hujumiwa wa 2020. Kikubwa ambacho kama nchi tutakuja kukijutia na "kitengo" watajua kuwa hawajui ni kwa kuingilia mchakato wa wananchi kupata wabunge wao na kitengo kuwapangia wabunge wawe kina nani..
Mahakama imemezwa na Mganga
 
OTE="johnthebaptist, post: 37698515, member: 228646"]
Uchaguzi mkuu umekwisha Bavicha chapeni kazi!

Hivi huyu naye anafikilia siku moja aje kuwa mbunge? Ndiyo maana selikali imetekwa na mtu mmoja
 
Nchi haihitaji uPinzani inahitaji watu wenye mawazo mbadala jengeshi Tanzania ilikuwa na siasa za kiijinga Mon

Mfano mdogo toka upinzani uwezo nchini haujawHi tengeneza bajeti mbadala ya kwao kazi yao ilikuwa kupinga tu na kuvaa mitambala midomoni kupinga ya serikali!!

Was kuwa kusubiri CCM waseme kitu auwafanye kitu wao wapinge!!!

Siasa za kishamba Mno afadhali hawajarudi bungeni
 
Nimejaribu kuangalia mwenendo wa nchi kwa sasa baada ya uchaguzi mkuu uliohujumiwa wa 2020...
Kwa idadi ya maaafisa vipenyo walioukwaa ubunge (silinde,Katambi,Ighondi et al) ni wazi hata wenyewe kwa wenyewe ndani ya caucus ya CCM bungeni watakuwa hawaaminiani na mwisho wa siku watakuwa ni watu wa kusubiri upepo unaelekea wapi (chalamila alitaka kuvunja hotel upepo ukabadilika ikabidi aikane nafsi yake).

La muhimu ni kuwa ikifika 2025 aliye na miaka 15 atakuwa na 20 aliye na 62 atakuwa na 67,kizazi kipya!!
 
Nchi haihitaji uPinzani inahitaji watu wenye mawazo mbadala jengeshi Tanzania ilikuwa na siasa za kiijinga Mon

Mfano mdogo toka upinzani uwezo nchini haujawHi tengeneza bajeti mbadala ya kwao kazi yao ilikuwa kupinga tu na kuvaa mitambala midomoni kupinga ya serikali!
Kupanga ni kuchagua, mfalme ameamua anahitaji kikosi cha kumsifia na kumwabudu. Salama yetu ni kumuombea afya na hekima mfalme, ili siku akiamka vizuri aruhusu mchakato katiba ya Wananchi.
 
Nchi haihitaji uPinzani inahitaji watu wenye mawazo mbadala jengeshi Tanzania ilikuwa na siasa za kiijinga Mon....
Unaelewa maana ya budget mbadala? Unaelewa kuwa budget sio mali ya chama Bali ya wananchi na Mali ya chama ni Sera tuu?
Nadhani mjadala wako urudi nyuma na uanzie hapo
 
Back
Top Bottom