Kizinga mpemba
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 218
- 194
mbona wakati wa kutafuta wadhamini katembea mikoa 17ni kampeni Tosha na ukichanganya majimbo wakati ukitembea mkoa mmoja baadhi ya majimbo ya karibu lazima yalete wawakilishi
Zanzibar pemba Dam + offside za kutafuta wadhaminiHizo tawimu za Chadema umetoa wapi?
Tuanzie hapo kwanza!
Wachagga hawajawahi kuishi Kwa position wao ni kindi LA taaluma madaktari waalimu malecturer mafundi wafanyabiashara yaani since chini so juuWewe utakuwa mchaga wa Burundi
Ona ya leo kwa mbowe, hapo itakuwaje?Kilimanjaro hajafika na wala asipofika atazoa kura nyingi kuliko chama chochote . yaani sisi tumeshamuelewa tokea day one.
Umenigusa sana. Na hiki ndicho WaTz wengi hawakitafakari. Maeneo mengi yaliokumbatia watawala yako chini mno ki maendeleo. Na hasa vinijiniDodoma wana spika na mawaziri 4 mbona nyumba za tembe ndiyo zinaongezeka?
Hawashindwi bali wataporwaTatizo CHADEMA haitakaa ijifunze ni bora vije vyama vipya kabisa. Mwaka huu wanashindwa kama walivyoshindwa mwaka 1995, historia yao inakwenda kujirudia.
Sasa magu si atakuwa na manneAnapozunguka kwenye majimbo anaonekana wazi Leo Yuko Jimbo hili na humu jamii forums , Twitter nk kote wanapost alipo mfano Leo yupo Geita Jimbo la 17 toka aanze kuzunguka
Chadema wapo 7mlnUkweli unaowatoa nyongo wapambe wake ni kwamba, hata akifikia majimbo yote, hawezi shinda, hawezi na hatoweza, ninauhakika 100%
Amejitahidi Sana, atapata Kura 1.m
Labda Chadema wakiongeza matusi mara Ishirini zaidi ya hayo wanayotukana mitandaoni sasa
CCM inataka watu wajingaUmenigusa sana. Na hiki ndicho WaTz wengi hawakitafakari. Maeneo mengi yaliokumbatia watawala yako chini mno ki maendeleo. Na hasa vinijini