PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Kwanini isiwe Mlinzi, Polisi au Mwanajeshi?Huyo jambazi
Hizo style za jambazi, kama ni police ndo mtuhumiwa alie jambazi hiloKwanini isiwe Mlinzi, Polisi au Mwanajeshi?
Sasa turudi upande wapili.Hizo style za jambazi, kama ni police ndo mtuhumiwa alie jambazi hilo
Jambo la muhimu kwa mzazi kuwa Karibu na mtoto Kwajili ya kujua wapi alipo wapi anapaswa kuwa kumfundisha nini sahihi na nini cha muhimu kutenda na kutokutendaSasa turudi upande wapili.
Sisi kama wanajamii tunamshauri nini mzazi/ mlezi wake ikiwa ni pamoja na vifaa anavyotumia mtoto kuchezea Kwa kipindi hiki cha utandawazi.( Kwa Sasa bunduki za watoto za kuchezea zinatoa milio ya baruti) hivyo ina influence michezo hatari kama hiyo.
angekuwa mwanangu ningemtaka naniii yake
Duu sinema zinatuharibia watoto