Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Mkuu afadhali na ww umejibu vizuri. Mi nilimjibu jamaa vizur tu katika post namb #2 , nashangaa jamaa ghafla kaja kunitapikia bila sababu katika post yake namb #11 , matokeo yake akajikuta alichoandika hakieleweki.Mzee Mwinyi na mwanae ni wa Mukuranga...