Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,428
- 4,218
Mwalimu Nyerere hakupenda rushwa na Watanzania wengi hawapendi rushwa japo kuna taasisi za serikali zimeendekeza rushwa.
Kwa kuwa JF ipo kwa ajili ya mawazo huru, naomba kwa uhuru wa mawazo yetu kwa uzoefu wa kila mtu tuzijadiri taasisi zetu kwa point mbili.
Moja unadhani ni taasisi ama shirika lipi linafanya vema katika Suala la rushwa na ni ipi unadhani ni kinara kwa rushwa. Karibuni wadau na kazi iendelee.
Kwa kuwa JF ipo kwa ajili ya mawazo huru, naomba kwa uhuru wa mawazo yetu kwa uzoefu wa kila mtu tuzijadiri taasisi zetu kwa point mbili.
Moja unadhani ni taasisi ama shirika lipi linafanya vema katika Suala la rushwa na ni ipi unadhani ni kinara kwa rushwa. Karibuni wadau na kazi iendelee.