ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,642
Nimefanya research kwa kufuatilia jinsi Magufuli anavyokubalika nimegundua Magufuli atashinda kwa 70% ikilinganishwa na vyama vya upinzani ambavyo vitpata watu 30%.
Muda ukifika nadhani hisia hizi zitakuwa kweli.
Tanzania yetu inapaa lakini tulicheleweshwa na watendaji Sasa system imewazingira Magufuli kawatega.
Muda ukifika nadhani hisia hizi zitakuwa kweli.
Tanzania yetu inapaa lakini tulicheleweshwa na watendaji Sasa system imewazingira Magufuli kawatega.