Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Sikutishiiii nawala sikwambiii ukapimee.... Watafitii wamesemaa Jana ktk nyumba Tano dar
Watooto kuanzia wawili nk wamechakuliwa namaanisha baba zao wanaoishi nao sio wahalisia
Ripoti ikaongexza kutokana NA wanaume wengi kukimbilia Mimba ndipo waoe.. Wanawake wengi wamekuwa wakitafuta maboyfriend wanaofanana ama kwarangi ama kwasura NA waumezao watarajiwa
Napalewanapopata mimba huwawanajiamini Kabisa mtoto atatoka kidogo anafanana NA mumemtarajiwa....
So nduguzanguu wale mnaonganganiaga mimba muoe watoto wengi mnaingizwa chaka
Ripoti aikuishia hapooooo.. Ikasema wanaoteseka Sana n wake ambaoo wanashida NA uzazi.. Mwanamke anapoolewa NA kuanza kutafuta mimba baadayamiezi sitA wengi hutafuta mwanaume anafanana NA WAUME NA kuamua kutafuta naoo mimba
Hatahivyooo ripoti imesisitiza mtoto n mtoto kitanda hakizai haramu....
Jpili njema
Watooto kuanzia wawili nk wamechakuliwa namaanisha baba zao wanaoishi nao sio wahalisia
Ripoti ikaongexza kutokana NA wanaume wengi kukimbilia Mimba ndipo waoe.. Wanawake wengi wamekuwa wakitafuta maboyfriend wanaofanana ama kwarangi ama kwasura NA waumezao watarajiwa
Napalewanapopata mimba huwawanajiamini Kabisa mtoto atatoka kidogo anafanana NA mumemtarajiwa....
So nduguzanguu wale mnaonganganiaga mimba muoe watoto wengi mnaingizwa chaka
Ripoti aikuishia hapooooo.. Ikasema wanaoteseka Sana n wake ambaoo wanashida NA uzazi.. Mwanamke anapoolewa NA kuanza kutafuta mimba baadayamiezi sitA wengi hutafuta mwanaume anafanana NA WAUME NA kuamua kutafuta naoo mimba
Hatahivyooo ripoti imesisitiza mtoto n mtoto kitanda hakizai haramu....
Jpili njema