Katika kila Nyumba 5; watotoo wawili wamechakachuliwa!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
Sikutishiiii nawala sikwambiii ukapimee.... Watafitii wamesemaa Jana ktk nyumba Tano dar

Watooto kuanzia wawili nk wamechakuliwa namaanisha baba zao wanaoishi nao sio wahalisia

Ripoti ikaongexza kutokana NA wanaume wengi kukimbilia Mimba ndipo waoe.. Wanawake wengi wamekuwa wakitafuta maboyfriend wanaofanana ama kwarangi ama kwasura NA waumezao watarajiwa

Napalewanapopata mimba huwawanajiamini Kabisa mtoto atatoka kidogo anafanana NA mumemtarajiwa....

So nduguzanguu wale mnaonganganiaga mimba muoe watoto wengi mnaingizwa chaka

Ripoti aikuishia hapooooo.. Ikasema wanaoteseka Sana n wake ambaoo wanashida NA uzazi.. Mwanamke anapoolewa NA kuanza kutafuta mimba baadayamiezi sitA wengi hutafuta mwanaume anafanana NA WAUME NA kuamua kutafuta naoo mimba

Hatahivyooo ripoti imesisitiza mtoto n mtoto kitanda hakizai haramu....

Jpili njema
 
Back
Top Bottom