makatapela pasinde
Member
- Nov 18, 2021
- 62
- 66
kujua ni njia bora.mfano kujulisha wateja kuwa tutakuwa na matengenezo mwezi.hii inasaidia
"Kaa kwa kutulia!! kutokana na mvua zilizonyesha mitambo imecollapse hii Yote imetokana na kutokufanyiwa marekebisho kwa muda mrefu"hakika kuna shida sio kawaida kwa mwendo huu.tangu asubuhi mpaka linazama hakuna umeme.unarudi watu mnafurahi kuwa tutapata mwanga usiku.mida ya kula saa mbili paa giza ndio nitolee hiyo.
Ambatisha na jina la waziri wa nishati kabisa.Mimi apa washaniunguzia radio nina hasira...nimemtumia bibi yangu baadhi ya majina ya mafundi tanesco angaike nao kidogo maana nishachoka