CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Nilisikitika sana wakati waliposikia Waziri Mkuu anakuja Wagonjwa wote walivalishwa Uniform.Sasa zile Uniform zipo kwa ajili ya Kumuonesha Waziri Mkuu au Kuvalishwa Wagonjwa wote wanapoingia tu Hospital.
Pia Mbunge huyo wa Mkoa wa Tanga amewashukuru wanachama wa CUF kwa upande wa kina mama wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa wanawake CUF Taifa (JUKE) kwa kuhamasisha wananchi kuvaa Barakoa.