Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,966
- 10,460
Kazi hiyo wanafanya maajenti wa UWT ya kutafuta watu humu JF wanaomponda Kiwete na serikali yake; matokeo yake hawa maajenti wanampelekea wrong intelligence [ wrongly identified people] na yeye anaitumia kuwaumiza hawa watu kwenye maamuzi yake!! What a pity! Punishing wrong people and making wrong decisions based on wrong information.
Pinpointing someone can sometimes be easy!
Unajua kuna taarifa fulani nyeti ambazo huenda ni mutu mmoja ama wawili wanaozifahamu, sasa zinapokuja kuvuja ni rahisi sana kujua chanzo. Hili la JK kuadhibu watu wasio na makosa huwa anafanya mara nyingi sana, aghalabu hahangaiki kujua ukweli kabla hajachukua uamuzi.