tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Toka juzi wanafunzi wa UDSM wanaoishi Mabibo Hostel wamegoma kupanda shato wakishinikiza nauli ishuke toka sh. 300 had sh 250. Hawa wanataka nauli ipungue pasipo kufikiri kwanini zimepanda. Mi nadhani ingekuwa busara na uzalendo kama wangeandamana kushinikiza kodi zipunguzwe kwenye mafuta maana siyo wao tu wanaoumia na hizi nauli.:israel: