......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas
We nafikiri ndio bogas lazima ufikirie hawa wabunge wanaenda kuongeza nini huko bungeni kama sio kuiongezea mzigo serikali?......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas
Wabunge wengi wa CCM ni dizaini ya Lakailo kielimu unategemea wanaweza kupewa wizara haoMaskini JK anajaribu kuongeza nguvu labda itamsaidia kupata watakaoziba mapengo ya mawaziri watakaotemwa! Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani kati ya Wabunge lukuki wa CCM haoni nani anafaa kuwa Waziri...loh!
Haijasema lazima ateue, Imesema atateua, so hata hasipoteua atakuwa hajavunja katiba. The issue is, hv kwa sasa Tanzania inaitaji Mbunge mwingine wa kuteuliwa ba Rais? Hii ni kumuongezea mzigo mwananchi bila sababu.
Unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake. Mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja.
ili wafike wangapi?
......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas
Unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake. Mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja.
Mbona Lembeli na Maige wanakaa ! Mbona EL na Mwakyembe wanakaa ! Bungeni sio nyumbani kwako na si lazima usemeshane na kila mtu , tunachohitaji ni hoja na namna unavyotetea jimbo lako But Kwa Mbatia Sijui atatetea KAWE !!!!!!!!Sipati picha Mbatia na Kafulila watakaaje Bungeni,hii pia imedhihirisha wapinzani mamluki
Unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake. Mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja.