Katika hili siyo siri mh. Jk hapa umechemsha.

Unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake. Mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja.

Mtei hana haja ya kufanya hivyo kwa leo; In fact kwanza JK bado ana deni. Unataka kujifanya hujui ule uteuzi wa kwanza wa "wabunge wa rais" aliwajaza akina nani humo tena vingine vikongwe alimradi ni "mwenzetu". Na Tume ya Katiba pia akajaza akina nani? Ndio anajaribu ku-balance hivyo baada ya nafsi kumsuta. Au hilo hulioni Mkuu?
 
......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas

Mkuu punguza kukurupuka, soma btn the lines utaelewa, au u-mwanaasha unakusumbua?
 
...hapo ndio umuhimu wa mawaziri kutokuwa wabunge unaonekana.

yaani babkey umenena. nitapendekeza kwa warioba kuwa mawaziri wasitokane na wabunge na iwe kama usa kuwa hata km chama kingine kimeingia madarakani baada ya election kiweze kuwatumia mawaziri kiliowakuta madarakani(baadhi) as long as wawe ni waadilfu kusiwe na haja ya kuteua wengine wapya, mfano obama alivyomrithi waziri wa ulinzi wa ulinzi wa bush aitwaye gates mara tu baada ya kuingia madarakani.
 
Unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake. Mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja.

Hapo ameneutralize udini, maana wale wa3 wa mwanzo(Prof Mbarawa, Meghji, Nahodha) walikuwa wa dini moja pia.
UMEELEWA?
 
Leo sijaona yale maneno JK ni mdini kachaguwa wote wa dini mmoja.

Amestukia upepo unavyomwendea vibaya. Kwa hiyo amefanya makusudi ili kupunguza ghadhabu na pia kukupa wewe na wenzio hoja ya kuongea.
 
Sitarajii mabadiliko ya kweli kutoka kwa kiongozi yeyote wa ccm, maana mfumo huu mbovu wa uendeshaji nchi unawafaidisha. Kwa hiyo kikwete hajachemsha bali amefanya kile kinachomsaidia kubaki salama yeye na genge lake. Nasikitika tu kuwa nccr inaingizwa polepole ktk shimo walimotumbukia cuf.
 
Sitarajii mabadiliko ya kweli kutoka kwa kiongozi yeyote wa ccm, maana mfumo huu mbovu wa uendeshaji nchi unawafaidisha. Kwa hiyo kikwete hajachemsha bali amefanya kile kinachomsaidia kubaki salama yeye na genge lake. Nasikitika tu kuwa nccr inaingizwa polepole ktk shimo walimotumbukia cuf.

Kabona tatizo c kubadili langi ya kaniki, kwa sasa serikali haina fedha vpi tena anaongeza mzigo wa kuongeza wabunge?
 
Tuna wabunge takribani 300 na
ushee na 80% ya wabunge hawa hawana umuhimu kwa
wananchi wao, Leo unatuongezea
wengine huku unalia kila siku serikali haina fedha,
Tunahitaji baraza jipya la mawaziri siyo
wabunge wapya japo tunatambua wengi
si wasafi.
MBONA ZNZ KURA ZA MBUNGE HATA HAZIFIKI ELFU 5,NI KAMA KATA MOJA KWA BARA LAKINI HUONGEI KWAMBA HIYO NI KUCHAGUA VIONGOZI WENGI WAKATI SERIKALI HAINA HELA?
SERA YA VYAMA VYA UPINZANI VINGI KUHUSU MUUNGANO NI SERIKALI TATU SASA HUONI KAMA HAO NDIO WATANCHEZEA HELA ZAIDI MAANA WATAANZISHA BUNGE JIPYA LA TANGANYIKA HUKU LA MUUNGANO NA SMZ LIKIENDELEA KUWEPO?
Kosa langu ninalo liona ni kuwa JK huteuwa wabunge kutoka ccm,cuf na sasa nccr LAKINI HATAKI KUTEUWA WA chama kikuu cha upinzani nchini kitu ambacho sio chema.angeteuliwa slaa,mpendazoe au mwingine yeyote wa chadema WATU MSINGELALAMIKA NINA UHAKIKA.
 
......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas
We mpuuzi nini ndio akurupuke kuongeza wabunge bila sababu za msingi kisa katiba ina mruusu?
 
Maskini JK anajaribu kuongeza nguvu labda itamsaidia kupata watakaoziba mapengo ya mawaziri watakaotemwa! Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani kati ya Wabunge lukuki wa CCM haoni nani anafaa kuwa Waziri...loh!
 
Ameamua kuvunja uhusiano wa CHADEMA na NCCR mageuzi uliotangazwa wakati wa kufuta kesi ya ubunge Kawe! Nadhani hii ni faida kwa CHADEMA maana sasa imejulikana rasmi kuwa chama cha upinzani hasa ni CHADEMA, vingine matawi ya chama tawala!!!
 
......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas

Na ww unashabikia sheria za kipuuzi na zilizopitwa na wakati na sizizo na manufaa kwa kizazi hichi cha sasa. Huyo mbunge wa kuteuliwa anaenda kumwakilisha nani? na je mahitaji ya jamii na taifa kwa ujumla wanmhitaji mbunge wa kuteuliwa ama daktari/mwalimu n.k

Rais unaacha kufocus kwa mambo tete yanalolikumba taifa unaenda kuongeza uteuzi wa vyeo vya kisiasa. Ni bora angeliajiri waalimu, maofisa ugani, wauguzi, mahakimu n.k ambao wahitajiwa sana na jamii ya leo kuliko kulipana fadhila kwa kuteuliwa kwny vyeo vya kisiasa


"Watu wangu wanaangamia kwa kukusa maarifa".
 
......Ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas


Dah!! kweli Tanzania kazi tunayo!!! mtu anaweza kutetea uteuzi wa wabunge zaidi!, kwa faida ipi?!!
 
Hivi Sheria inasema Raisi ateua wabunge Kumi tu Lakini Imeeleza kuwa ni lazima wafike kumi?au wakati mwingine anaweza kutumia utashi wake kwa kuzingatia mazingira yanayomzunguka na hali halisi ya kiuchumi!

Mytake:Siyo Muda Mrefu tutakuwa kama Ugiriki....yaan baadala ya kuangalia ni jinsi gani tutapunguza matumizi yasiyoyalazima tunaongeza Cost Centre nyingine Hapo wateuliwa 3 wakipewa stahiki zao,Baraza jipya linakuja kila anayechaguliwa atakuja na mahitaji yake hizi pesa za kufanya haya yote tunapata wapi?Kuna miradi mingi imeshindwa kutekelezeka simply kwasababu serikali haina pesa!
Swali La Kizushi:
Kipi Bora Kuteua Wabunge au Kuongeza Mishahara kwa wafanyakazi ambao hali zao zinaendelea kudorora kila siku?
 
Back
Top Bottom