Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Nlisafiri kwenda Mkoani. Ili kukwepa traffic na mambo ya mwendo elekezi nikaondoka Dar saa 4 usiku. Kiukweli nlikuwa speed sana mpaka alfajil huo Mkoa watu walikuwa wakiona gari yangu inavyokimbia wanashika vichwa na kuachia mdomo wazi huku macho wametoa hivi.
Ile speed nahisi ilikuwa inakaribiana kwa ukaribu sana na speed ya light.au mwendo kasi wa Mwanga.
Nmekuja kurudi Dar baada ya siku 5 nakuta jamaa zangu wamezeeka sana.wengine wameshazalisha. Na mdogo wake wife nkkakuta ameshazaa muda tu.
Jamaa zangu nimerudi nimewakuta wamechoka sana. Wamekuwa Wazee...
Ile speed nahisi ilikuwa inakaribiana kwa ukaribu sana na speed ya light.au mwendo kasi wa Mwanga.
Nmekuja kurudi Dar baada ya siku 5 nakuta jamaa zangu wamezeeka sana.wengine wameshazalisha. Na mdogo wake wife nkkakuta ameshazaa muda tu.
Jamaa zangu nimerudi nimewakuta wamechoka sana. Wamekuwa Wazee...