jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,969
- 1,392
Nimekuwa na urafiki na dada mmoja kama miaka saba hivi imepita baada ya hapo nikamwambia mie napenda huwe mpenzi wangu mungu akipenda tuwe pamoja..yule dada akakubali tuakaanza safari ya mahusiano ki kimapenzi..tumendelea kwa kipindi kirefu tukavumiliana katika kila hari na kuombeana misamaha kibao kila mmoja wetu anapokosea kwa mwenzake,tumendelea nikafikia hatua ya kutoa mahari na familia zetu zikakutana na kufahamiana na kuwa kama ndugu baada ya hapo tukatangaza rasmi ndoa,wazazi wakafurahi wakasherekea kwa sana,
Shida sasa inakuja hivi huyu dada nimetokea kumchoka ghafla na upendo umepotea ghafla..ajaniudhi wala sijamuudhi..na wala hakuna shida yoyote,yaani nikimuona namchukia si mchezo hadi najuta kwa nini nimemposa,nilikwisha kumwambia jinsi ninavyojisikia juu yake akasema siku nikimwacha tu anajiua..Je katika mazingira kama haya naweza kuvunja kila kitu?je upande wa wazazi wetu pande zote mbili itakuwaje?best wangu anasema nijipe moyo mambo yatakuwa powa baadaye lakini naona kama napoteza mda na huyu dada..na nikitaka kumwacha nimwache katika mazingira gani ambayo roho yake itabaki salama?
Shida sasa inakuja hivi huyu dada nimetokea kumchoka ghafla na upendo umepotea ghafla..ajaniudhi wala sijamuudhi..na wala hakuna shida yoyote,yaani nikimuona namchukia si mchezo hadi najuta kwa nini nimemposa,nilikwisha kumwambia jinsi ninavyojisikia juu yake akasema siku nikimwacha tu anajiua..Je katika mazingira kama haya naweza kuvunja kila kitu?je upande wa wazazi wetu pande zote mbili itakuwaje?best wangu anasema nijipe moyo mambo yatakuwa powa baadaye lakini naona kama napoteza mda na huyu dada..na nikitaka kumwacha nimwache katika mazingira gani ambayo roho yake itabaki salama?