Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,067
Nimepata kusoma mahali fulani kwamba Yesu Kristo alifundisha neno la Mungu, aliponya wagonjwa na kufufua waliokufa, lakini sijawahi kusoma popote ambapo imeandikwa kwamba aliwahi kusababisha mauaji iwe ya kimbari ama ya watu kadhaa.
Hata hivyo, mimi si mjuzi sana wa mambo ya Biblia na wala sijui sana habari za Yesu. Hivyo basi, ninawaomba wenye ujuzi na uelewa mpana wa habari za Yesu Kristo watusaidie kufafanua.
Naomba kuwasilisha.
Hata hivyo, mimi si mjuzi sana wa mambo ya Biblia na wala sijui sana habari za Yesu. Hivyo basi, ninawaomba wenye ujuzi na uelewa mpana wa habari za Yesu Kristo watusaidie kufafanua.
Naomba kuwasilisha.