The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hii video ina-trend kwa kasi sana kwenye social media platforms mbalimbali WhatsApp, FB, Instagram, Telegram, Twitter nk nk.
Ukweli huu umewakera wengi sana hususani wanapohusianisha na kodi hizi hatari za tozo kwenye miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu walizopitisha juzi.
Kilichonifurahisha zaidi ni jinsi ambavyo mitandao hii ya kijamii WhatsApp, FB, Youtube, Instagram na mingine inavyosambaza habari kwa kasi na kuleta impact kubwa katika jamii na kwa muda mfupi.
Inashangaza polisi kwa kutumiwa na baadhi watawala wajinga na wapumbavu kupambana na watu kama Askofu Emmaus Mwamakula na wenzake huko CHADEMA wanaotembea kote nchini kutoa elimu ya katiba kwa kuonesha mapungufu ya katiba ya 1977 na umuhimu wa kuandikwa kwa katiba mpya ya wananchi.
Niko huku Shinyanga vijijini maeneo ya vijiji vya Mwakitolyo na Salawe. Nilishangaa sana kuona wazee, vijana wa kike na kiume na watoto wakishangaa kusikia kwamba kumbe wabunge ndiyo wako hivi.
Yaani wao wanatutungia sheria za kodi za kutunyonya sisi wananchi huku wao wakijitungia za kujilinda na kujihakikishia ulaji zaidi na zaidi kila siku.
Ingekuwa vyema kama serikali hii dhalimu ya CCM na Samia Suluhu Hassani Rais wao, wangeelekeza nguvu zao kupambana na social media kama alivyofanya Mwendazake ili nao wafe kama alivyokufa mzee wao.
Katika hali na mazingira haya, hivi ukimuuliza mbunge wako unadhani anaweza kutoa utetezi gani wa kueleweka ya kwanini yeye halipi kodi hizi za kijinga walizozipitisha juzi?
Ukweli huu umewakera wengi sana hususani wanapohusianisha na kodi hizi hatari za tozo kwenye miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu walizopitisha juzi.
Kilichonifurahisha zaidi ni jinsi ambavyo mitandao hii ya kijamii WhatsApp, FB, Youtube, Instagram na mingine inavyosambaza habari kwa kasi na kuleta impact kubwa katika jamii na kwa muda mfupi.
Inashangaza polisi kwa kutumiwa na baadhi watawala wajinga na wapumbavu kupambana na watu kama Askofu Emmaus Mwamakula na wenzake huko CHADEMA wanaotembea kote nchini kutoa elimu ya katiba kwa kuonesha mapungufu ya katiba ya 1977 na umuhimu wa kuandikwa kwa katiba mpya ya wananchi.
Niko huku Shinyanga vijijini maeneo ya vijiji vya Mwakitolyo na Salawe. Nilishangaa sana kuona wazee, vijana wa kike na kiume na watoto wakishangaa kusikia kwamba kumbe wabunge ndiyo wako hivi.
Yaani wao wanatutungia sheria za kodi za kutunyonya sisi wananchi huku wao wakijitungia za kujilinda na kujihakikishia ulaji zaidi na zaidi kila siku.
Ingekuwa vyema kama serikali hii dhalimu ya CCM na Samia Suluhu Hassani Rais wao, wangeelekeza nguvu zao kupambana na social media kama alivyofanya Mwendazake ili nao wafe kama alivyokufa mzee wao.
Katika hali na mazingira haya, hivi ukimuuliza mbunge wako unadhani anaweza kutoa utetezi gani wa kueleweka ya kwanini yeye halipi kodi hizi za kijinga walizozipitisha juzi?