Katika hali kama hii ungefanyaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
1422412_507299422702160_2136458357_n.jpg
 
Ningesema ee Mungu kama Yona aliweza kukaa tumboni mwa samaki nami naomba nikae tumboni mwa mamba na nitoka baada ya siku moja niwe mzima:amen:
 
Nazama chini kabisa ya maji mamba hawezi winda huko kisha naogelea hadi upande wa pili halafu naibuka fasta "usiulize kuhusu pumzi"maana nitatumia hata kijambio kupumua
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom