katika basi(daladala)..

NG'ADA

Senior Member
Sep 2, 2011
152
15
katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto wake...mtoto akakataa...mama akamwambia "nyonya, kama hutaki nampa anko anyonye"..anko ni kaka mmoja ambaye alikuwa ni abiria aliyeketi na huyo mama....mtoto akanyonya kidogo, akaacha.mama akamtishia tena kumpa anko...ndipo yule kaka akasema "mama uwe na msimamo..unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako, hebu kuwa mkweli!!!"...unanipa ninyonye au nishuke?
 
Back
Top Bottom