Katika awamu zote za Utawala hapa Tanzania, Utawala upi kwako ni bora. Wa kwanza, pili, tatu, nne...

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Kwangu, orodha yangu napanga kama hivi:

Wa kwanza:
- Rais Ali Hassan Mwinyi. Huyu jamaa ni mwana sana, ndio maana bado anaishi hadi sasa sababu hakuwa na madhambi ya kijinga!

Kwa mtazamo wangu huyu ndie aliyetoa nchi kwenye lock down ya kiuchumi.

Wananchi walikuwa na mawe balaa enzi zake!

Wa pili:
- Jakaya Kikwete. Huyu ndio mwana sasa, msela balaa. Bata batani. Of coz alizingua zingua lakini hakuwa na hard feelings. Huyu ataishi miaka mirefu sana.

Nilichokuja kubaini ni kuwa watu wahuni wahuni, masela masela make good leadership, kuliko watu wengine wowote. Mfano, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Donald Trump wa Marekani, nk.
 
Kwangu, orodha yangu napanga kama hivi:

Wa kwanza:
- Rais Ali Hassan Mwinyi. Huyu jamaa ni mwana sana, ndio maana bado anaishi hadi sasa sababu hakuwa na madhambi ya kijinga!

Kwa mtazamo wangu huyu ndie aliyetoa nchi kwenye lock down ya kiuchumi.

Wananchi walikuwa na mawe balaa enzi zake!

Wa pili:
- Jakaya Kikwete. Huyu ndio mwana sasa, msela balaa. Bata batani. Of coz alizingua zingua lakini hakuwa na hard feelings. Huyu ataishi miaka mirefu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Nilichosikia kubaini ni kuwa watu wahuni wahuni, masela masela make good leadership, kuliko watu wengine wowote. Mfano, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Donald Trump wa Marekani, nk.
Duh...!.
P
 
Hatujawahi kuwa na awamu bora wala hatutapata awamu bora chini ya CCM labda ungeliuliza awamu yenye afadhali.
Awamu yenye kauafadhali kwa mtazamo wangu ni awamu ya Ally Hassan Mwinyi.
True!
 
Duh...!.
P
Halafu we jamaa punguza mambo mawili kuendana na kasi ya Dunia ya sasa.
One, replies zako za Duh ...P ni michosho sana. Portraying km vile usiekuwa na uhuru wa kutoa comment.

Two, title ndeeeeeefu kwenye thread zako.

All in all you are so good, I respect you as a person and your hustles!

Respect to all legends!
 
Kwangu, orodha yangu napanga kama hivi:

Wa kwanza:
- Rais Ali Hassan Mwinyi. Huyu jamaa ni mwana sana, ndio maana bado anaishi hadi sasa sababu hakuwa na madhambi ya kijinga!

Kwa mtazamo wangu huyu ndie aliyetoa nchi kwenye lock down ya kiuchumi.

Wananchi walikuwa na mawe balaa enzi zake!

Wa pili:
- Jakaya Kikwete. Huyu ndio mwana sasa, msela balaa. Bata batani. Of coz alizingua zingua lakini hakuwa na hard feelings. Huyu ataishi miaka mirefu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Nilichokuja kubaini ni kuwa watu wahuni wahuni, masela masela make good leadership, kuliko watu wengine wowote. Mfano, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Donald Trump wa Marekani, nk.
Asalam aleykum sheikh
 
Sisi watanzania huwa tunatoa majibu baada ya awamu moja kupita na kuja nyingine.
Nakumbuja enzi za mkapa watu walikuwa wanamshangilia sana mzee ruksa akitokea mahali. Ikafikia wakatamani kama kungekuwa na namna basi angegombea tena urais.

Alipokuja kikwete watu wakasema aheri ya mkapa. Basi mkapa akawa anashangiliwa kila anapopita. Mpaka ikabidi kikwete aache kumualika kwenye hafla zozote za kitaifa.
Kuna mtu aliwahi kuandika humu kuwa mapungufu ya kikwete yasimpe ushindi mkapa..

Sasa tunaye JPM mtu anayeipeleka nchi kwa supersonic speed. Amevuruga tamaduni zote za kipuuzi kuanzia kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja mpaka kwenye ofisi za serikali na umma.

Huyu ameondoa dhana ya kufanya cheo ni mali yako na familia yako, kwamba ukipata cheo au nafasi ya serikali au kwenye mashirika basi we honga sana vimada, jenga majumba, iba, onea watu na watumishi wasiokubaliana na misimamo yako, vimba kwenye mabaa na mitaani, weka kwa ajili ya watoto na wajukuu zako.

Sote tutakumbuka ilifikia hatua ikulu ilikuwa kwa ajili ya wasanii na sio mahali pa kukutana na watu wa muhimu na kufanya mambo ya msingi.

Safari za nje hadi waheshimiwa walikiri kuwa wanakutana hewani utadhani chini kuna moto.

Miradi isiyokamilika au ikikamilika basi ni kiwango cha chini sana. Kuna wakati dr silaa alilalamika jimboni kwake kimejengwa kisima kwa million 250 ila thamani haifiki hata milioni kumi.

Mwinyi katika kipindi chake alibezwa sana. Ni hivyo tu hakukuwa na mitandao.

Huyu Mkapa nae alionekana si lolote.

JK ndio hadi alipopolewa mawe kule tegeta na kuzomewa kule udsm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu, orodha yangu napanga kama hivi:

Wa kwanza:
- Rais Ali Hassan Mwinyi. Huyu jamaa ni mwana sana, ndio maana bado anaishi hadi sasa sababu hakuwa na madhambi ya kijinga!

Kwa mtazamo wangu huyu ndie aliyetoa nchi kwenye lock down ya kiuchumi.

Wananchi walikuwa na mawe balaa enzi zake!

Wa pili:
- Jakaya Kikwete. Huyu ndio mwana sasa, msela balaa. Bata batani. Of coz alizingua zingua lakini hakuwa na hard feelings. Huyu ataishi miaka mirefu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Nilichokuja kubaini ni kuwa watu wahuni wahuni, masela masela make good leadership, kuliko watu wengine wowote. Mfano, Uhuru Kenyatta wa Kenya, Donald Trump wa Marekani, nk.
Unaanzaje kumuacha Mchonga?
Huyu ndie rais bora wakati wote.. Alikuwa na maono ya kweli.. Alijua kwa kwa hakika tulipotoka, tulipo na tuendako

Jr
 
Unaanzaje kumuacha Mchonga?
Huyu ndie rais bora wakati wote.. Alikuwa na maono ya kweli.. Alijua kwa kwa hakika tulipotoka, tulipo na tuendako

Jr
Mchonga ndio nani? Tustuane majina mengine mageni shekhe....vp msata kwema lakini?
 
sheiza ndio maana tunalinganisha awamu zimeshatoka in real....tume taste in reality!

Nyerere tayari......Mwinyi tayari...Mkapa tayari.....Kikwete tayari.....Magufuli is happening now
 
Miaka mitano ya kwanza ya JK nilikuwa namalizia masomo yangu

Miaka mitano ya pili nilianza kazi nikajenga nyumba moja Dar nikanunua viwanja 2 Dar na nikabadilisha gali za kutembelea Mara 3

Tokea amamu hi imeanza na ndio anamaliza miaka 5 ya kwanza muheshimiwa aliyejificha chato kwa kuogopa corona Dar sijafanya chochote cha maana

Kwangu Mimi utawala wa JK ndio bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi watanzania huwa tunatoa majibu baada ya awamu moja kupita na kuja nyingine.
Nakumbuja enzi za mkapa watu walikuwa wanamshangilia sana mzee ruksa akitokea mahali. Ikafikia wakatamani kama kungekuwa na namna basi angegombea tena urais.

Alipokuja kikwete watu wakasema aheri ya mkapa. Basi mkapa akawa anashangiliwa kila anapopita. Mpaka ikabidi kikwete aache kumualika kwenye hafla zozote za kitaifa.
Kuna mtu aliwahi kuandika humu kuwa mapungufu ya kikwete yasimpe ushindi mkapa..

Sasa tunaye JPM mtu anayeipeleka nchi kwa supersonic speed. Amevuruga tamaduni zote za kipuuzi kuanzia kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja mpaka kwenye ofisi za serikali na umma.

Huyu ameondoa dhana ya kufanya cheo ni mali yako na familia yako, kwamba ukipata cheo au nafasi ya serikali au kwenye mashirika basi we honga sana vimada, jenga majumba, iba, onea watu na watumishi wasiokubaliana na misimamo yako, vimba kwenye mabaa na mitaani, weka kwa ajili ya watoto na wajukuu zako.

Sote tutakumbuka ilifikia hatua ikulu ilikuwa kwa ajili ya wasanii na sio mahali pa kukutana na watu wa muhimu na kufanya mambo ya msingi.

Safari za nje hadi waheshimiwa walikiri kuwa wanakutana hewani utadhani chini kuna moto.

Miradi isiyokamilika au ikikamilika basi ni kiwango cha chini sana. Kuna wakati dr silaa alilalamika jimboni kwake kimejengwa kisima kwa million 250 ila thamani haifiki hata milioni kumi.

Mwinyi katika kipindi chake alibezwa sana. Ni hivyo tu hakukuwa na mitandao.

Huyu Mkapa nae alionekana si lolote.

JK ndio hadi alipopolewa mawe kule tegeta na kuzomewa kule udsm.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkapa alikuwa anashangiliwa?
 
Back
Top Bottom