Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Social and economic issues lazima awe waziri wa fedha?Hapana, kwa kuwa kwa maoni yako Kikwete angeweza kumtuma waziri wa vijana na utamaduni kwenda kujifunza masuala ya uchumi.
Na hivi kwa akili yako, Kikwete angetaka kumtuma waziri kujifunza masuala ya uchumi, angemtuma nchi ya Rwanda, ambako pia alikuwa na mgogoro na Kagame? Unaona Rwanda ndio ilikuwa nchi ya kuifundisha Tanzania masuala ya uchumi wakati huo?