Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
Imemalizika press conference hivi punde hapa bk,kikao cha UVCCM Mkoa wa Kagera kimemfukuza katibu wa UVCCM wilaya ya Karagwe kwa madai ya utovu wa nidhamu na kutofuata matakwa ya chama.
Kwamba hafai kuitwa katibu wa UVCCM na wametuma mapendekezo yao hao kwa UVCCM Taifa
Sababu nyingine nje ya press conference nitawajuza baadaye..................................
byabato
Kwamba hafai kuitwa katibu wa UVCCM na wametuma mapendekezo yao hao kwa UVCCM Taifa
Sababu nyingine nje ya press conference nitawajuza baadaye..................................
byabato