Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,641
- 218,089
Taarifa za uhakika ni kwamba Katibu wa TEF ndugu Meena ameondolewa leo mchana Hospitali ya Taifa Muhimbili kuelekea Johanessburg kutafuta matibabu zaidi ya maumivu makali ya kichwa ambayo baadhi ya magwiji wamedokeza kwamba huenda akawa amepuliziwa sumu.
Ndugu Meena ambaye alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki moja; hali yake iliendelea kudorora hadi pale Jukwaa la Wahariri lilipostuka baada ya kutonywa na wasamaria wema
Ndugu Meena ambaye alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki moja; hali yake iliendelea kudorora hadi pale Jukwaa la Wahariri lilipostuka baada ya kutonywa na wasamaria wema