Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mod, Unganisha hii na thread yake yenye maelezo kule!
apa ni kwenye jukwaa la picha kuna watu awajaona picha yake
Mod, Unganisha hii na thread yake yenye maelezo kule!
Uamsho ni kikundi cha kigaidi!Sheh Farid,na Sheh Ponda Issa Ponda ni magaidi waandamizi!
Kanisa Katoliki Zanzibar Vijana wake Wajibu mapigo Sasa tuone Jeshi la Polisi litawachukulia hatuwa gani?
Kanisa Katoliki Zanzibar Vijana wake Wajibu mapigo Sasa tuone Jeshi la Polisi litawachukulia hatuwa gani?
Kata nusu ndizi 2 tumplekee mgonjwa, usishau chachandu. Aaaaa pokiiiii loh!hamchoki na habari za mgonjwa?? karibuni lunch! ni pork mtamuje sasa?
1.sio kama sijui hakuna iyo jamhuri ila migogangano ya zanzibar chanzo chake huwa ni tofauti zilizopo za wakazi wa visiwa hivyo ndo maana UAMSHO inaungwa mkono na Wapemba zaidi kuliko waungujaHakuna kitu kinachoitwa Jamhuri ya Pemba! Usipotoshe umma.
Adulahasaf hivi unachuki na wakatoliki?Au intelijensia yako imekuambia?Na kama wakiwa waislamu wenzako utawaomba radhi hao wakatoliki?Na wakiwa wa dini nyingine je?
Usiwe unapenda kuwa mdini wa kupitiliza.Ina kera kila kitu wakatoliki.Kama unashindwa kuchangia basi jitahidi kunyamaza au kupita tu.
Kwani tanganyika sio nchi mbona watu wanatibiwa nchi nyengne kama india ama germanyHayanihusu! Wao ni nchi kwanini asipelekwe hospitali yao ya taifa? Why aletwe Tanganyika?
Hayanihusu! Wao ni nchi kwanini asipelekwe hospitali yao ya taifa? Why aletwe Tanganyika?
Kama nilivyowahi kuandika kabla.Muanzishaji wa mada kama hizi ni sehemu ya mtandao wa kuleta fujo duniani.Kama ni uraiani huyu ndiyo wa kuunganishwa kwenye kesi.Lakini kwa hapa JF sehemu yao ya kuendeshea propaganda hakamatiki.Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Sheikh Soraga amemwagiwa tindi kali na watu wasiojulikana asubuhi ya leo wakati akiwa katika mazoezi.
hivi sasa inasemekana yuko njiani kuelekea Dar kwa matibabu.
Sheikh Soraga ni pro-government na ni 'critic' mkubwa wa Uamsho. Katika hotuba yake ya Sala ya Iddi, aliiponda sana jumuiya hii. Sasa whether there is causal relationship between the two, ni kazi ya vyombo vya dola kung'amua
-------------------UPDATE-----------------------
Hakuna kitu kinachoitwa Jamhuri ya Pemba! Usipotoshe umma.