silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,535
Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Sheikh Soraga amemwagiwa tindi kali na watu wasiojulikana asubuhi ya leo wakati akiwa katika mazoezi.
hivi sasa inasemekana yuko njiani kuelekea Dar kwa matibabu.
Sheikh Soraga ni pro-government na ni 'critic' mkubwa wa Uamsho. Katika hotuba yake ya Sala ya Iddi, aliiponda sana jumuiya hii. Sasa whether there is causal relationship between the two, ni kazi ya vyombo vya dola kung'amua
-------------------UPDATE-----------------------
hivi sasa inasemekana yuko njiani kuelekea Dar kwa matibabu.
Sheikh Soraga ni pro-government na ni 'critic' mkubwa wa Uamsho. Katika hotuba yake ya Sala ya Iddi, aliiponda sana jumuiya hii. Sasa whether there is causal relationship between the two, ni kazi ya vyombo vya dola kung'amua
-------------------UPDATE-----------------------
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari ya Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
Wananchi mbalimbali wakishuhudia Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akiwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Imewekwa na MAPARA at 10:30 AM