Atajihudhuru na kubakia ndani ya chama au atajihudhuru na kwenda anapokutaka?[/QUOTE
Duh na wewe ni great thinker ? kazi kweli kweli.
hayo unayoyasema, SLAA anakubaliana nayo?Na kama kuna mwingine mkoa mwingine bora wajichuje maana hatutaki vihiyo kwenye chama ,hii speed si ya kitoto
Wote waliochangia hii thread mpaka sasa wanadhihirisha kutokujua nini hasa kimetokea. Vuteni subira mtajua ukweli wa kilichotokea.
Kuna taarifa imetolewa na watu walio karibu na Katibu wa Mkoa wa Morogoro CDM Mh. Luanda, kuwa leo atafanya Press na waandishi wa Habari mjini Morogoro kutoa taarifa ya sababu za kujiuzuru kwake. Tayari ameshafikisha barua yake kwa Katibu Mkuu Dr. Slaa aliyeko Morogoro kwenye oparesheni ya M4C. Nakala ameshambaza kwa Makatibu wote wa wilaya. Habari zilizohibitishwa ni kwamba hayupo kwenye oparesheni tangu kuanza kwa M4C mkoani hapa japo amekuwa akionekana kwenye ofisi za mkoa.
Mkuu ZeMarcopolo, kilichotokea tunakijua sana! Hata wewe unakijua lakini umegwaya kukisema! Liwalo na liwe mimi niseme, huy bwana kanunuliwa na Nape kwa cheap price kama wewe mkuu lol.
Alikuwa Mchagga, mwi-Iraq au mpogoro? kaz kweli kweli.Tusubiri labda anaweza kutupa abc za Magwanda.
Jamani yaani hata Kiswahili kinatushinda. Sasa tutashindanaje na wenzatu wa Jumuiya ya Africa Mashariki kama tuko hoi hivi.Atajihudhuru na kubakia ndani ya chama au atajihudhuru na kwenda anapokutaka?