TANZIA Katibu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, ndugu Lugano Mwafongo afariki dunia

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,874
Katibu wa Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ndugu Lugano Mwafongo amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro alipokimbizwa kwa matibabu.

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!

Mwafongo.jpg
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom