Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Ndg wanajamvi,
Napenda kuweka kumbukumbu sawa juu ya taarifa za Katibu wa chaso kurudisha kadi, huyu mtoa taarifa ama amedanganywa na aliyempa taarifa ama anafanya kazi yao ccm kama kawaida yao ambayo ni propaganda badala ya kufanya siasa za hoja. Chaso Udom haina katibu mwenye jina la SIMON MPANDALUME na wala hakuna mwanachama yeyote aliyerudisha kadi kwani hakuna ushahidi wowote maana hakuna hafla yoyote iliyofanyika kuwapokea hao wanachama 92. Tafadhali MOD mimi ndiye msemaji wa chadema Udom hizo habari hazina ukweli wowote hivyo tunaomba haki itendeke. Mawasiliano ni kizwitesumbawanga@gmail.com.
eeh.!! hapo mtu mzima anaumbukaga