Nipo UDOM jamani, hakuna mwachadema aliye rudisha kad, now wanafunzi wapo busy na shule. Ni kazi ya magamba kueneza uwongo usio kua na ukweli wowote. Magamba wanahaha kutafuta sehemu ya kupumulia na kwa tarifa yenu magamba 3/4 ya Wanafunzi Dom ni CDM na ukiona Yupo chama cha majambazi ujue anaangaikia tumbo.
HAYAHAYA DODOMA KUMEKUCHA, HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA, KATIBU WA CHADEMA UDOM NDUGU SIMON MPANDALUME NA WANACHAMA WENGINE 92 WARUDISHA KADI ZA CHADEMA WAMEJIUNGA NA CCM LEO MCHANA.
Source: mtu wangu wa kuaminika aliyepo dodoma na udom
Mtazidi kuisoma namba
Chadema kwishney
HAYAHAYA DODOMA KUMEKUCHA, HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA, KATIBU WA CHADEMA UDOM NDUGU SIMON MPANDALUME NA WANACHAMA WENGINE 92 WARUDISHA KADI ZA CHADEMA WAMEJIUNGA NA CCM LEO MCHANA.
Source: mtu wangu wa kuaminika aliyepo dodoma na udom
Ndg wanajamvi,
Napenda kuweka kumbukumbu sawa juu ya taarifa za Katibu wa chaso kurudisha kadi, huyu mtoa taarifa ama amedanganywa na aliyempa taarifa ama anafanya kazi yao ccm kama kawaida yao ambayo ni propaganda badala ya kufanya siasa za hoja. Chaso Udom haina katibu mwenye jina la SIMON MPANDALUME na wala hakuna mwanachama yeyote aliyerudisha kadi kwani hakuna ushahidi wowote maana hakuna hafla yoyote iliyofanyika kuwapokea hao wanachama 92. Tafadhali MOD mimi ndiye msemaji wa chadema Udom hizo habari hazina ukweli wowote hivyo tunaomba haki itendeke. Mawasiliano ni kizwitesumbawanga@gmail.com.