kistick
Member
- Oct 30, 2013
- 68
- 22
hao wasomi mchwaraa digree za magumashi
wanafata chama au mtu?
kwa mfano mh zito ange fariki wao pia wangejiuwa?
kuna watu duniani ni mambulula hawajajitambua migogoro ni sehemu ya siasa kwahiyo wakienda ccm ndo wanafata nini?
kwahiyo upinzani wao ulikuwa wa kinafiki?
mi sio mwanachama wa chama chochote ila hao wasomi wamenishangaza sana hao wafata mkumbuko pakitulia chadema watarudi au?
WANAFIKI WAKUBWA hao mxiiiii
wanafata chama au mtu?
kwa mfano mh zito ange fariki wao pia wangejiuwa?
kuna watu duniani ni mambulula hawajajitambua migogoro ni sehemu ya siasa kwahiyo wakienda ccm ndo wanafata nini?
kwahiyo upinzani wao ulikuwa wa kinafiki?
mi sio mwanachama wa chama chochote ila hao wasomi wamenishangaza sana hao wafata mkumbuko pakitulia chadema watarudi au?
WANAFIKI WAKUBWA hao mxiiiii