Si nimeskia wote,:israel: au?jamani ni m/kti au katibu.??? maana kuna jamaa hapa kapost kuwa ni mwenyekiti na yeye source yake ni star tv
Si nimeskia wote,:israel: au?jamani ni m/kti au katibu.??? maana kuna jamaa hapa kapost kuwa ni mwenyekiti na yeye source yake ni star tv
Halafu inaonekana kuna usanii katika hili. Mbona tv channels zingine hazijaongelea habari hii. Hata TBC wakae kimya?
Katika vitu vinavyonifurahisha uchaguzi huu ni namna watanzania wanavyoignore hawa wapuuzi tulishasikia Kiyabo wa CCJ kwenda CCM, Mwenyekiti wa zamanni CCM mkoa Iringa kurudi CCM, Nakaaya etc. wht change did they bring about???????????
Burn ndugu yangu... nimesoma post zako nimegundua una hasira sana, haina sababu kwani from monay we will be talking a different language, unakumbuka ya kyela kati ya mtanzania na mwakyembe??? yanapita tuWako wapi waangusha matusi wajewampe yake kama walivyofanya kwa nakaya na wengine
wako wapi waangusha matusi wajewampe yake kama walivyofanya kwa nakaya na wengine