Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Muache aende,moto wa M4C hauwezi.
Hawa wachaga kumbe kabila hatari sana, kumbe mpaka Morogoro wapo wachaga pia?Nipo morogoro hoja yake kubwa anasema amejiona anatumikia chama ambacho kinaendeshwa kikabila zaidi,pia wale ambao wa kabila hilo na waliopo na kabila hilo wanasikilizwa zaidi,amebanwa na mwandishi ataje hilo kabila amesema wandishi wajue tu chadema ipo kikabila zaidi na amewalaumu wandishi wa habari kufumbia macho ukabila wa chadema,anaonekana ana wasi wasi sana!
mkuu mtu anaacha kusema ukweli kasi ya M4C imemshinda,anakuja na visababu vilivyopitwa na wakati.!!Hawa wachaga kumbe kabila hatari sana, kumbe mpaka Morogoro wapo wachaga pia?
daaa jamanii hiyo nnn kinatoke kwa cdm tena au ndio nape na mwigulu wamefanikiwa lengo lao la kubomoa ngome ya chadema
Hivi Shitambala yuko wapi siku hizi?
acha uzuzu wewe,.Hawa wachaga kumbe kabila hatari sana, kumbe mpaka Morogoro wapo wachaga pia?
mgogo anzia hapo.Kwani mwenyekiti wa chadema ni nani na Kabila gani nadhani tunaweza tukaanzia hapo
Kwani mwenyekiti wa chadema ni nani na Kabila gani nadhani tunaweza tukaanzia hapo
Pimbi wewe wala hujui ulisemalo wala unijui mimi nani? kama kusoma kitu na kuelewa unashindwa nyinyi ndio mizigo ndani ya Chadema.acha uzuzu wewe,.
Bila shaka itakuwa anatumiwa na magamba kuivuruga CHADEMA kama ilivyotokea kwa aliyekuwa Mwenyekiti wetu Mgesi mwaka 2005 aliyehamia CCM gafla wakati kampeni za uchaguzi mkuu zilipokuwa zinaendelea.Quote from DT125
Katibu wa Chadema wa Mkoa wa Morogoro, ameachia ngazi!.
Katibu huyo, (jina litafuatia), ameachia ngazi rasmi kwa kuitisha press conference iliyomalizika soon mjini Morogoro!.
Katibu huyo ametoa sababu kuu za kuachia ngazi, ni sintofahamu kati yake na Mwenyekiti wake, Mhe. Susan Kiwanga kuhusiana na lengo la M4C!.
Kwa mujibu wa mtoa habari wangu, Katibu huyo ameanza rasmi ubomoaji wa Chadema kwa aliyoyazungumza
na nimeona sii bora kusema alichosema, bali nitawawekea hapa soon!.
Nipo morogoro hoja yake kubwa anasema amejiona anatumikia chama ambacho kinaendeshwa kikabila zaidi,pia wale ambao wa kabila hilo na waliopo na kabila hilo wanasikilizwa zaidi,amebanwa na mwandishi ataje hilo kabila amesema wandishi wajue tu chadema ipo kikabila zaidi na amewalaumu wandishi wa habari kufumbia macho ukabila wa chadema,anaonekana ana wasi wasi sana!