Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,732
- 10,813
Hili la katibu mkuu wa CCM kuzunguka na mawaziri kuelezea mafanikio ("anyway" na mikanganyiko) ya serikali inatokakana na mfumo wa katiba ipi?
Kwenye mihimili ya serikali kwa mujibu ya katiba ya sasa hili la katibu mkuu wa chama kuwasimamia mawaziri mbona halijaandikwa?Au ni utawala usio wa sheria?
Naomba wataalamu wa sheria wanisaidie kulielewa hili maana kuna jamii ambayo inatuzunguka tuielimishe kwa hili
Kwenye mihimili ya serikali kwa mujibu ya katiba ya sasa hili la katibu mkuu wa chama kuwasimamia mawaziri mbona halijaandikwa?Au ni utawala usio wa sheria?
Naomba wataalamu wa sheria wanisaidie kulielewa hili maana kuna jamii ambayo inatuzunguka tuielimishe kwa hili